BUHIGWE WAFURIKA MKUTANO WA KAMPENI ZA DKT. SAMIA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Saturday, September 13, 2025

BUHIGWE WAFURIKA MKUTANO WA KAMPENI ZA DKT. SAMIA


Umati wa wananchi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi CCM Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wakiwa wamejitokeza kwa wingi leo Jumamosi Septemba 13, 2025 kumsikiliza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi Dkt. Samia Suluhu Hassan anayeendelea na kampeni zake Mkoani humo kuelekea uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.



No comments:

Post a Comment