CHAKE CHAKE WAMSUBIRI KWA SHAUKU DKT. SAMIA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Saturday, September 20, 2025

CHAKE CHAKE WAMSUBIRI KWA SHAUKU DKT. SAMIA


Wananchi wa Wilaya ya Chake Chake pamoja na vitongoji vya jirani Visiwani Pemba wakimsubiri kwa shangwe Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan anayetarajiwa kuwa na mkutano wa kampeni katika Viwanja vya Gombani ya Kale, Mkoa wa Kusini Pemba, Zanzibar leo Jumamosi tarehe 20 Septemba, 2025. 

No comments:

Post a Comment