DKT. SAMIA NA MAELFU YA WAPIGA KURA WA KIBAHA MKOANI PWANI - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Sunday, September 28, 2025

DKT. SAMIA NA MAELFU YA WAPIGA KURA WA KIBAHA MKOANI PWANI


Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM akizungumza na wananchi wa Kibaha Mkoani Pwani kwenye Mkutano wa Kampeni za Chama Cha Mapinduzi kwenye Viwanja vya Sabasaba kwa Mbonde, Kibaha Mjini Mkoani Pwani leo Jumapili Septemba 28, 2025.



No comments:

Post a Comment