WANANCHI WA JIJI LA ARUSHA WAMLAKI DKT. SAMIA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Wednesday, October 1, 2025

WANANCHI WA JIJI LA ARUSHA WAMLAKI DKT. SAMIA



Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwapungia Mkono Umati wa Wananchi wa Jiji la Arusha waliofurika pembezoni mwa barabarani kumlaki alipokuwa akiingia Jiji la Arusha leo October 01,2025 mara baada ya kuhitimisha Mkutano wake kwenye Wilaya ya Meru Mkoani humo






No comments:

Post a Comment