Waheshimiwa Wabunge Wateule wakishiriki zoezi la kujisajili lililoanza leo tarehe 8 Novemba, 2025 katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma, kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Kwanza wa Bunge la Kumi na Tatu unaotarajiwa kufanyika tarehe 11 Novemba, 2025.
Waheshimiwa Wabunge Wateule wakishiriki zoezi la kujisajili lililoanza leo tarehe 8 Novemba, 2025 katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma, kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Kwanza wa Bunge la Kumi na Tatu unaotarajiwa kufanyika tarehe 11 Novemba, 2025.
No comments:
Post a Comment