Waheshimiwa Wabunge Wateule wakishiriki zoezi la kujisajili lililoanza leo tarehe 8 Novemba, 2025 katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma, kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Kwanza wa Bunge la Kumi na Tatu unaotarajiwa kufanyika tarehe 11 Novemba, 2025.
Waheshimiwa Wabunge Wateule wakishiriki zoezi la kujisajili lililoanza leo tarehe 8 Novemba, 2025 katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma, kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Kwanza wa Bunge la Kumi na Tatu unaotarajiwa kufanyika tarehe 11 Novemba, 2025.
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Rhimo Simeon Nyansaho,(Mb) tarehe 8 Desemba 2025, amefanya ziara ya Kikazi kwa...
No comments:
Post a Comment