Ecuador, wakicheza Ugenini, waliichapa Venezuela Bao 3-1 kwa Bao za Fidel Martinez, Jefferson Montero na Felipe Calcedo wakati Bao la Vezuela likifungwa na Josef Martinez.
Nao Argentina wameambua ushindi wao wa kwanza waliposhinda Ugenini kwa kuifunga Colombia 1-0 kwa Bao la Lucas Biglia la Dakika ya 20.
Brazil, wakicheza kwao huko Arena Fonte Nova, waliifunga Peru Bao 3-0 kwa Bao za Douglas Costa, Renato Agusto na Filipe Luis.
Wakiwa Nyumbani, Uruguay waliitandika Chile 3-0 na Wafungaji walikuwa Diego Godin, Maximiliano Pereira na Jose Martin Caceres.
KOMBE LA DUNIA 2018
Marekani ya Kusini-Mechi za Mchujo
Ratiba/Matokeo:
**Saa za Bongo
Alhamisi Novemba 12
Bolivia 4 Venezuela 2
Ijumaa Novemba 13
Ecuador 2 Uruguay 1
Argentina v Brazil [Mechi imeahirishwa kutokana na Mvua]
Chile 1 Colombia 1
Jumamosi Novemba 14
Argentina 1 Brazil 1
Peru 1 Paraguay 0
Jumanne Novemba 17
Colombia 0 Argentina 1
Jumatano Novemba 18
Venezuela 1 Ecuador 3
Paraguay 2 Bolivia 1
Uruguay 3 Chile 0
Brazil 3 Peru 0
++++++++++++++++++++++
KOMBE LA DUNIA 2018
Marekani ya Kusini-Mechi za Mchujo
MATOKEO
Alhamisi Oktoba 8
Bolivia 0 Uruguay 2
Colombia 2 Peru 0
Venezuela 0 Paraguay 1
Chile 2 Brazil 0
Argentina 0 Ecuador 2
Jumatano Oktoba 14
Ecuador 2 Bolivia 0
Uruguay 3 Colombia 0
Brazil 2 Venezuela 0
Paraguay 0 Argentina 0
Peru 3 Chile 4
No comments:
Post a Comment