WAZIRI MKUU MGENI RASMI SIKU YA MKUNGA DUNIANI - OKULY BLOG

Breaking

Home Top Ad

TANGAZA NASI HAPA | PIGA 0785 364 965

Sunday, May 5, 2024

WAZIRI MKUU MGENI RASMI SIKU YA MKUNGA DUNIANI


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 05, 2024 atazungumza katika Maadhimisho ya Siku ya Mkunga Duniani inayofanyika kitaifa mkoani Dar es Salaam kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere.

Kaulimbiu ya maadhimisho hayo ni Wakunga:Suluhisho la Mabadiliko ya Tabia ya Nchi.




No comments:

Post a Comment

HABARI KUU KWA SASA

"HONGERENI JKT KWA KUENDELEZA UTALII"- DC KIBAHA

  Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mhe. Nickson Simon John amelipongeza Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kupitia kikosi chake cha Ruvu JKT kwa kuendelez...