MAELFU WAJITOKEZA KWA WINGI KWENYE MAPOKEZI YA DKT. SAMIA MTWARA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Tuesday, September 23, 2025

MAELFU WAJITOKEZA KWA WINGI KWENYE MAPOKEZI YA DKT. SAMIA MTWARA


Maelfu ya wananchi wa Nanyumbu Mkoani Mtwara leo Jumanne Septemba 23, 2025 wakiwa wamehudhuria kwa wingi kwenye Mkutano wa Kampeni za Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan.

No comments:

Post a Comment