NZEGA WAFURIKA MKUTANO WA KAMPENI ZA DKT. SAMIA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Wednesday, September 10, 2025

NZEGA WAFURIKA MKUTANO WA KAMPENI ZA DKT. SAMIA


Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama tawala, Chama Cha Mapinduzi nchini Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza mkutano wake wa Kampeni wilayani Nzega mkoani Tabora leo Jumatano tarehe 10 Septemba, 2025.

No comments:

Post a Comment