
Mamia ya wananchi wa Korogwe Mkoani Tanga sambamba na Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi CCM wakimsubiri Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika eneo la Korogwe, sehemu ambayo atapita kuzungumza na kuwaomba kura wananchi wakati akiwa njiani kuelekea Mkoani Kilimanjaro kwenye wilaya za Same na Mwanga, kuendelea na kampeni zake za uchaguzi Mkuu wa Jumatano ya Oktoba 29, 2025.







No comments:
Post a Comment