
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo , Profesa PaIamagamba Kabudi pamoja na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji, ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Novemba 18, 2025

Na Mwandishi Wetu - Dar es Salaam Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba leo tarehe 25 Juni, 2026 amefunga rasmi Maonesho na Kongamano...
No comments:
Post a Comment