
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo , Profesa PaIamagamba Kabudi pamoja na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji, ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Novemba 18, 2025

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM Hatua ya Benki ya Biashara ya Mwalimu (MCB) kuuza hisa stahiki imeelezwa kuwa chachu ya kuimarisha mtaji ...
No comments:
Post a Comment