Balozi Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Jamhuri ya Korea Mheshimiwa Noel Kaganda amepokelewa rasmi katika Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Seoul kuanza rasmi majukumu yake ya uwakilishi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Jamhuri ya Korea.
Monday, May 11, 2026
New
BALOZI MTEULE TANZANIA NCHINI KOREA AANZA RASMI MAJUKUMU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






No comments:
Post a Comment