BALOZI MTEULE TANZANIA NCHINI KOREA AANZA RASMI MAJUKUMU - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Monday, May 11, 2026

BALOZI MTEULE TANZANIA NCHINI KOREA AANZA RASMI MAJUKUMU

Balozi Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Jamhuri ya Korea Mheshimiwa Noel Kaganda amepokelewa rasmi katika Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Seoul kuanza rasmi majukumu yake ya uwakilishi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Jamhuri ya Korea.

No comments:

Post a Comment