𝗗𝗞𝗧. 𝗠𝗪𝗜𝗚𝗨𝗟𝗨 𝗔𝗦𝗛𝗜𝗥𝗜𝗞𝗜 𝗛𝗔𝗙𝗟𝗔 𝗬𝗔 𝗨𝗭𝗜𝗡𝗗𝗨𝗭𝗜 𝗪𝗔 𝗡𝗬𝗘𝗡𝗭𝗢 𝗭𝗔 𝗨𝗧𝗘𝗞𝗘𝗟𝗘𝗭𝗔𝗝𝗜 𝗪𝗔 𝗗𝗜𝗥𝗔 𝟮𝟬𝟱𝟬. - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Monday, August 3, 2026

𝗗𝗞𝗧. 𝗠𝗪𝗜𝗚𝗨𝗟𝗨 𝗔𝗦𝗛𝗜𝗥𝗜𝗞𝗜 𝗛𝗔𝗙𝗟𝗔 𝗬𝗔 𝗨𝗭𝗜𝗡𝗗𝗨𝗭𝗜 𝗪𝗔 𝗡𝗬𝗘𝗡𝗭𝗢 𝗭𝗔 𝗨𝗧𝗘𝗞𝗘𝗟𝗘𝗭𝗔𝗝𝗜 𝗪𝗔 𝗗𝗜𝗥𝗔 𝟮𝟬𝟱𝟬.



Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Agosti 3, 2026 ameshiriki katika hafla ya uzinduzi wa Nyenzo za Utekelezaji wa Dira 2050 pamoja na Kushiriki Mkutano wa Mazungumzo Maalum na Sekta Binafsi pamoja na Sekta ya Umma kuhusu utekelezaji wa Dira 2050, Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Nyenzo hizo zimezinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan.



No comments:

Post a Comment