SHANGWE LA WANANCHI WA SONGEA, MAPOKEZI YA DKT. SAMIA - OKULY BLOG

Breaking

Music

Header ADS

Monday, September 22, 2025

SHANGWE LA WANANCHI WA SONGEA, MAPOKEZI YA DKT. SAMIA


Maelfu ya wananchi wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu tarehe 22 Septemba, 2025 katika viwanja vya VETA Songea Mjini, mkoani Ruvuma .










No comments:

Post a Comment